Posts

Privacy Policy

  Privacy Policy This privacy policy is applicable to the Mbe app (hereinafter referred to as "Application") for mobile devices, which was developed by (hereinafter referred to as "Service Provider") as a an Ad Supported service. This service is provided "AS IS". What information does the Application obtain and how is it used? User Provided Information The Application acquires the information you supply when you download and register the Application. Registration with the Service Provider is not mandatory. However, bear in mind that you might not be able to utilize some of the features offered by the Application unless you register with them. The Service Provider may also use the information you provided them to contact you from time to time to provide you with important information, required notices and marketing promotions. Automatically Collected Information In addition, the Application may collect certain information automatically, including, but not l...

Privacy policy and terms of service

  1. General provisions 1.1The following general terms and conditions govern the use of online and mobile games and other services provided by WALKME MOBILE SOLUTIONS, LDA. (hereinafter referred to as “WALKME”), on WALKME websites and in official mobile application stores. 1.2 WALKME continuously updates, changes and develops its online and mobile games and other services at its own discretion. Therefore, WALKME reserves the right to stop the operation of an online or mobile app or game or to remove a specific service without previous explanation or notice. 1.3 The online games, mobile games and other services offered by WALKME are exclusively for entertainment. The use of these games or services for commercial or commercial purposes is strictly prohibited. 1.4 Any attempt to cheat the system of mobile games, online or WALKME websites by any user, will be punished with appropriate measures depending on the case and the seriousness of the situation. 1.5 Users a...

Faida na Raha tele za UUME MDOGO

[embed]https://www.youtube.com/watch?v=czbXfP4xXOg[/embed]

DALILI YA MWANAMKE ALIYE MTAMU KITANDANI

(1) MWENDO WAKE Mwanamke ambaye anapotembea kwa mwendo wake anaonyesha hali ya kujiamini na hali ya uanariadha na mwanamke ambaye sie mvivu awapo na mwanaume kitandani. Mwangalie mwanamke ambae anatembea asienyooka na macho yake yanaangalia mbele mara kwa mara badala ya kuangalia chini hali hizo zinaonyesha wazi kuwa mwanamke huyo hata ukimweka kwenye sehemu inayobana ataweza kujichomoa kwa urahisi. (2) MWANAMKE ASIYE NA KINYAA Ingawaje uchafu ni kitu kibaya lakini uonapo mwanamke ambaye anajifanya yeye ni msafi sana na mwepesi wa kuona kinyaa jua basi mwanamke huyo atapata shida kutulia awapo na mwanaume kitandani. Mwanamke wa aina hiyo akilini mwake atakuwa na mkandamizo wa mambo na hivyo akili yake kushindwa kuwa huru kufanya vitu ambavyo vitamfanya aonyeshe ufundi ambao mwanaume anahitaji ili aweze kufurahia tendo la ndoa. Kuwa makini na wanawake wa aina hii kwani pia wanakuwa wepesi kulaumu wanaume kuwa hawajui kitu. Usibabaishwe na vipodozi au nguo za kichokozi hizo...

DAKIKA 30 BILA KUKOJOA, NI RAHISI NA INALINDA NDOA YAKO

[embed]https://www.youtube.com/watch?v=BSOQpiAjr0A[/embed]

Ngono nzuri na tamu ni ipi..?

Ngono nzuri ni ile ambayo unajikuta umefanya ngono na mwanamme au mwanamke bila kuwa na wazo lolote kuhusu ngono, bila kuwa na hisia yoyote kuhusu ngono, wote wawili hamkuwaza kuhusu ngono, hamkupanga, hamkuwa na ahadi yoyote ya kufanya ngono, mnajikuta tu mmefanya. Ngono ya aina hii ni nzuri sana, inaleta furaha, inaleta burudani ya pekee, nguvu chanya (mwanamme) na nguvu hasi (mwanamke) zinakutana bila uwepo wa akili. Jambo hili hutokea kwa nadra sana. Inawezekana jambo hili halijawahi kukutokea, na kama limeshawahi kukutokea utakubaliana na hayo niliyoyasema, utakuwa shahidi wa hayo niliyoyasema. Lakini ngono zinazofanyika siku hizi ni zile za ahadi, ni zile za kupanga zifanyike kesho,wiki ijayo au mwezi ujao. Ngono hizi hufanyika bila hisia yoyote ya upendo, hufanyika kwa kuiwaza akilini kwanza, unaweza kufanya ngono na mwanamke bila kuwa hisia yoyote ya upendo, pia unaweza kufanya ngono na mwanamme bila kuwa na hisia yoyote ya upendo. Huku ni kumtumia mwingine kama chombo cha star...

Makosa wayafanyayo wanaume wawapo kitandani na mpenzi mpya...!

Linapokuja swala la kujamiiana kwa wapenzi wapya ambao hawajawahi kukutana kimwili tangu kujuana kwao ni mtihani mkubwa. Kwani kila mmoja anakuwa na matarajio tofauti na mwenzake. Yaani hakuna anayejua kwa usahihi kwamba mwenzake anapenda afanyiwe nini ili kupata ashki ya kushiriki jambo hilo, lakini wanawake wengi ndio ambao hulichukulia jambo hilo kwa uzito mkubwa kiasi kwamba, kama mwanaume asipomudu kuwa mtundu kitandani, nafasi yake kwa mwanamke huyo inaweza kuwa finyu sana labda tu kama atakuwa amempendea pesa… Hapa chini nitaeleza makosa yanayoonekana madogo yanayofanywa na wanaume kitandani wakutanapo na wapenzi wapya ambayo wanawake huyapa uzito mkubwa: 1. Kumuandaa Kumuandaa mwananamke sio pale muwapo kitandani tu, la hasha, maandalizi huanzia katika mazungumzo ili kumuweka katika mood. Hapa mwanaume anatakiwa aongee na mpenzi wake kwa lugha nzuri, kwa maneno matamu na yenye mahaba. Atumie muda mwingi kuzungumza naye, asiwe na haraka kuanza kufanya tendo. Mazungumzo yahusu ma...