Posts

Showing posts from October, 2018

Shanga Za Kiunoni Zina Umuhimu Gani? Sikia Hii Hapa

[embed]https://youtu.be/ka3W3CmtudQ?t=67[/embed]

Huu Ndio Utamu wa Mwanamke Mwenye Mswambwanda Kitandani..!!!

1.Makalio makubwa hunisaidia kujua kama mwenzi wangu amefika orgasm, mfano ikitokeana hit Doggie basi wakati wa orgasm (most of girls) makalio huwayanatikikisa (twitch, fasciculate ) ambayo huwa inaambatanana miguno ya kimhaba inayo fifia ambayo kabla ya hapo huwa ya sautikubwa... hii unifanya nijue what to next kumzidishia utamu zaidi. Hii kitu inukuwa ngumu kunotice kwa msichana ambaye nimwembamba just have to relay from other signs 2. Makalio makubwa huwa yananifanifanya iwe rahisi kwangu kuyashika (grab) especially wakati wa doggie.ikizingatia gym imekubali na kifua na mabega yametanuka ( shoulder to shouler distance ni kubwa). itaniwia ngumu sana kama msichana an mwili mdogo na makalio yake pia 3. msichana mwenye makalio makubwa obvious atakuwa na nyama nyama kwenye mapaja hii nyama nyama zinakuwa na act kama chock absober na kucushion ile hiting force ,especially when adrenaline na sympathetic flow is at peak and s3x is becoming hardcore, katika situation hiii , kimbau mbau anawe...

Je Unazijua Sehemu Za Kuleta Ufundi Kitandani!!!

MIDOMONI (LIPS) Chezea lips zake kwa kutumia ulimi wako na meno yako, mbusu kwa masikio,ng'atang'ata kidogo midomo yake, kisha malizia kwa kunyonya ulimi wake utaanza kupata majibu ya zoezi lako. USO Kutanisha uso wako na uso wake lenegesha pua yako na pua yake,mbusu,chezea paji lake la uso kwa kupapasapapasa kuanzia juu mpaka chini huku unarudia rudia hivyo hivyo,unaweza kuiramba pua yake na paji lake la uso (ila hapa usafi muhumu sana) itakuwa ni hatua ya mwazo ya kuanza kuvuta hisia MATITI Wakati upo safarini katika zoezi hili anza kuchanganya viungo ili uweze kupata ladha  kwa kuchezea chuchu zake  yapapase matiti yake huku unayaminya minya kwa upole,  ni vema kama utayanyonya anza kwa (lips) zako huku umezishika kisha zitekenye kidogo kwa kutumia ncha ya ulimi wako, sasa endelea kuzinyonya hizo titi MASIKIO Vuta kasi ya kuhama hapo au kufanya yote kwa pamoja  ikiwa mkono wako mmoja unaendelea kutomasa tomasa matiti kwa ufundi huo, Ulimi wako uhamishie sikioni anza kulamba ...

Huu Ndio Utundu Komesho Kwa Mwanamke Kitandani

Basi njia hizi zinaweza kuwa msaada mkubwa endapo zitatumika ipasavyo na hata yule ambaye ulikuwa umridhishi baada ya somo hili utaweza kumlidhisha ipasavyo kwa kumfanyia yafuatayo.       1.Mpe maneno matamu okimtomasa kwa ulimi sikio lake kimahaba zaidi Pitisha ulimi wako shingoni kifuani, tumboni, mapajani ni ikibidi zama chumvini walau kwa dakika kumi hivi Tumia ulimi wako ipasavyo kutomasa kitovu chake Mnyonye lita kadhaa za mate na huku ukitumia ulimi wako ipasavyo kuuchanganya ulimi wake Papasa matiti yake huku ukifinya finya chuchu zake na peleka mdomo wako huku ukinyonya kama mtoto Zungusha viganja vyako karibu kila kona ya mwili wake bila kusahau kubinya binya sehemu za mbavu hips na makalio yake Chezea ki**mi chake kwa vidole vyako au kwa ulimi ikiwezekana Mpe koni ya asili ajilambie kwa raha zake Muweke mkao mzuri wa kupokea zawadi yake Ingiza taratibu mti shimoni Hata kama huna uwezo wa kumfkisha kileleni hiyo dozi itakusaidia vilivyo. Na...

Je Unawahi Fika Kileleni? Hii Apa Dawa!!!

Diagnosis{ kuutambua ugonjwa] Mwanaume yeyote ambaye anatoa mbegu chini ya dakika moja au mbili ni muhanga wa hili tatizo na anatakiwa apewe matibabu. Matibabu Matibabu ya ugonjwa huu yamegawanyika sehemu kuu mbili kulingana na ukali wa tatizo husika. Non pharmacological treatment{matibabu yasiyo hitaji dawa}: Matibabu haya hupewa watu ambao wanahimili mpaka dakika tatu bila kutoa mbegu. Pharmacological treatment{matibabu yanayohusu dawa}: Matibabu haya hupewa watu ambao hutoa mbegu ndani ya dakika moja baada ya kuanza kushiriki tendo la ndoa, watu hawa hushauriwa kutumia na mbinu zote mbili za matibabu. Yafuatayo ni matibabu yasiyohitaji dawa. Tumia condom: Condom ni moja ya tiba nzuri ya tatizo hili kwani hufanya kazi kwa kupunguza hisia kali za mapenzi mtu anazozipata pale ambapo hatumii condom. Kandamiza perineum kwa kidole: Perineum ni eneo kati ya mkundu na korodani, ile sehemu ikikandamizwa na kidole huweza kuzuia kukojoa haraka wakati wa tendo la ndoa. Punguza wasiwasi: Hebu li...

Wanaume njooni jandon

Image
Unapata girlfriend/mchumba anakupenda na kukujali kwenye kila hali, anakupenda kupitiliza mpaka unajiona mwenye bahati kuliko wengine, dada wa Watu anajiachia kwako akijua wewe ndo utakuwa wake wa milele. Tatizo letu wanaume huwa linaanzia hapa, tunapopendwa kupitiliza huwa tunajisahau na kuanza kujiona kama miungu watu, tunaanza kuyachukulia mapenzi yake for granted, tunamuona anayetupenda kama vile amekosa mwingine wa kumpenda. Hatujiulizi anafuatwa na wangapi na anawakatalia kulinda mapenzi yake kwetu, hatujiulizi ni wangapi wapo tayari kuwa naye ila wameikosa hiyo nafasi ukapatiwa wewe unayeichezea na kumuona aliyekupenda kama kapotea njia vile. Tumejisahau na kusahau kuwa naye ana moyo na anaweza kuamua lolote muda wowote, tumesahau kuwa naye ana maumivu kama ambavyo sie huumia. Tusipopendwa vile tunavyotaka, tumesahau kuwa mapenzi ni pande mbili na si upande mmoja. Siku wakiamua kuondoka huwa ndio siku tunayokuja kutambua kuwa alikuwa na mapenzi ya kweli, ndio siku utakayojua kuw...

BIKRA SIO LAZIMA UTOKWE NA DAMU KWA TENDO LA KWANZA

Habari dada dinah natumaini wewe ni mzima wa afya. Nimekua nkifuatilia blog yako kwa ukaribu sana umekua ukitufundisha mambo mengi sana ambayo hata mie sikua nikiyafahamu hapo kabla. Pole sana kwa majukumu. Mimi ninatatizo na nimeona wewe ni wapekee ambae unaweza kunisaidia tatizo langu, siku za karbuni nilipata mpenzi ambae aliniambia kua yeye ni bikra nilikubali kwa hilo. Lakini siku ya siku nilifanya nae mapenzi ikiwa ni siku ya kwanza alilalamika sana anaumia ikabidi tuache, siku ya pili tukafanya tena kwa bahati nzuri uume wangu ulifanikiwa kuingia ndani vizuri na tukamaliza tendo kwa amani. Lakini wasiwasi wangu naona kama amenidanganya coz marafiki zangu waliniambia kuwa unapofanya mapenzi na bikra lazima atoke damu kuashiria bikra yake imetoka. Mpenzi wangu hajawahi kutoka damu sasa sielewi naona kama ananicheat, naomba unisaidie dada yangu kwani nilazima mwanamke bikra atokwe na damu katka tendo la ndoa ikiwa ndo mara yake ya kwanza? ********** Dinah anasema: Namshukuru Mungu ...

Jinsi ya kumtoa msichana Bikra bila maumivu, wengi hawajui hili, Cheki hapa.

Habari zenu wapendwa,last night nilikuwa nago through my emails,nikakuta kuna email kutoka kwa 1 of my female fans,aliituma kama wiki moja iliyopita,aliniambia kuwa yeye bado ni bikira lakini kuna mtu ametokea kumpenda na anataka kupeana nae Raha na Utamu kwa mara ya kwanza katika Maisha yake,kwa hiyo akaniuliza maswali mawili,swali la kwanza alikuwa anataka kujua jinsi ya kumridhisha boyfriend wake,alikuwa anataka kujua mambo muhimu kwa sababu hana experience. aliuliza Jinsi ya kupeana Raha na Utamu bila Maumivu kwa kuwa yeye bado bikira,so jibu lake ndio hii Post yenyewe. Ingawa asilimia kubwa ya wanawake au wasichana,hupata maumivu pale wanapokuwa wanatolewa bikira zao,wapo ambao hawapati maumivu kabisa na pia wapo ambao hupata maumivu kidogo sana kulingana na hizo bikira wanatolewa na Mwanaume gani na huyo Mwanaume anajali(care) kiasi gani. Yapo Mambo ambayo ukifanya,kuna uwezekano mkubwa sana wa kutopata Maumivu wakati unatolewa bikira,na hata kama ukipata Maumivu basi yanakuwa ki...

JINSI YA KUCHEZEA MATAKO YA MWANAMKE NA KUMPA RAHA YA AJABU KWA KUYABINYA KATIKA MIELEKEO MAALAM SOMA HAPA

Mke anawezza kuchezea uume wa mumewe kwa kuuweka katikati ya maziwa yake mawili ,kuuchezesha kwenye mapaja ,nyuma ya magoti yake ,,au kwenye mstari unaogawa matako yake. Hata hivo kutokana na tofauti za kimaumbile na kisaikolojia baina ya wanaume ,ni jukumu la mke kufahamu ni eneo gani hasa mumewe akiguswa anapandwa na mizuka haraka. Kwa upande wa wanawake wanasaikolojia takribani wote wanakubaliana ya kuwa popote utakampomshika hupandwa na kuweza kufanya mapenzi. Hata hivyo mke husikia raha zaidi pale anapotekenywa na mumewe kwa namna yoyote ile ,kuchezewa maziwa kwa kutekenywatekenywa ,kuvutwavutwachuchu na kuguswa kiunoni. Inapendekezwa awe atleast amevaa shanga chain mbili kiunoni si vibaya akawa kava zaidi inategemea na mume anavyopenda Mbali na hayo mwanamke anapenda achezewe kitovuni .kupapaswa kwenye kinena ,kulambwa kiarage (kisimi) na hata uke mzimaaaaaaaaaa. Mostly hujiskia raha zaidi kuzamishwa vidole ukeni na kupekechwa ekechwa. Kwa kuwa uume husimama mara tyu fikra za jim...

JINSI YA KUNYONYA K* KWA UTUNDU WA PIPI KIJITI

Unajua kila mwanamke anapenda mpenzi wake awe mbunifu hasa katika mapenzi maana mwanaume ukiwa mbunifu mpenzi wako atakuona mpya kila cku. Unajua sisi wanaume tunapenda sana raha katika mapenzi yaaan tunapenda tufanyiwe v2 vingi sana katika mapenzi ila sisi hatutaki kuwafanyia wapenzi we2 mpaka waienjoy,basi leo natoa darasa kwa wanaume wenzangu namna ya kunyonya kum* kwa kutumia pipi ya kijiti. Raha ya kunyonya kum* mwanamke anatakiwa awe msafi maana si kila mwanamke anatakiwa kunyonywa kum* kuna wengne sio wasafi bt kama co msafi unaweza ukiamwogesha kabla ya kumnyonya kum*.Hakikisha mpenzi wako yuko uchi tayari kwa ajili ya kupata hiyo raha maana kunyonywa kum* kuna raha yake hasa umpate mwanaume anayejua kunyonya kum* sio wale wanaotumia meno kwa sana mpaka mwanamke anahisi karaha,kuna mikao mingi tu ambayo unaweza kuitumia kwa ajili ya kunyonya kum* ili mradi isikupe shida pale unapomnyonya mpenzi wako kwa mfano,mwanamke anaweza kulala chali akapanua miguu au kuinua miguu juu,mwan...

ZIFAHAMU SEHEMU KUU 8 ZENYE MSISIMKO wakati wa MAUJANJAAAA

SEHEMU YA 1: NYWELE sehemu ya kwanza yenye msisimko katika mwili wa mwanamke ni kwenye nywele, katika sehemu hii huleta msisimko kwa pande zote mbili kwa mwanaume na kwa mwanamke. Walio wengi katika mapenzi hupuuzia eneo hili kwa kutokujua kama ni muhimu husasani wawa...po ndani na wapenzi wao ila nataka nikufahamishe kua nywele huleta msisimko wa raha pindi zinapochezewa hivyo ukiwa ndani na mpenzi wako katika kumuandaa ili uweze kushirikiana nae katika tendo ni vizuri ukatumia kumlainisha kwa kumpa raha kupitia nywele zake. JINSI YA KUZICHEZEA NYWELE: Nywele za mpenzi wako unaweza kuzichezea pindi mkiwa mmekaa kitandani mnaongea mkisubiri muda muafaka wa kuenjoy yawezekana mpenzi wako kakulalia, basi taratibu anza kuzishika shika nywele zake huku ukiwa unampa maneno matamu ya kimapenzi. SEHEMU YA 2: MASIKIO: - eneo husika lenye raha katika kumuandaa mpenzi wako ni kwenye masikio, pindi ukiwa ndani na mpenzi wako jitahidi kutumia eneo hili katika kumlainisha umpendae, JINSI YA KUTUMIA...

HIZI ni Dalili za Mwanamke Anayekupenda Kwa Dhati Toka Moyoni, ila Hawezi Kukuambia

Kumekuwa na imani potofu  kwa wanawake kwamba hawawezi kumwambia ukweli mwanaume anampenda kwanza mpaka mwanaume aanze lakini ukweli usiopingika ni kwamba wao pia hupendi na mara nyingi wao wakianza kupenda hupenda kweli kufikia stage hata ya kuhisi kuumwa. Hizi ni dalili za mwanamke anaekupenda ila anagoma kukwambia tu. 1. KUKUTEGA ILIKUJUA THAMANI YAKE KWAKO Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda na kumthamini au la mfano wa mambo hayo ni kama kujifanya anaumwa na kauangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake. 2.HUWA ANAPENDA KUKUGUSA SEHEMU YAKO YA MWILI. Haoni aibu kugusa sehemu ya mwili wako. Msichana anayependa haoni aibu kukushika mkono ama kukutomasa au hata kukumbatia.Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa asilimia kubwa hisia za kushikana kwenu kutamrahishishia kazi ya kuwa na wewe. 3. KUPENDA KUCHEKA TENA MUDA MWINGINE KWA NGUVU Kucheka kwa nguvu hata kwa kitu kisicho chekesha endapo wewe umezungumza. Mara nyingi ataone...

Sifa 10 za Mpenzi wa Kweli

Vijana   wengi ambao wanapendana leo mapenzi yao hayadumu kiasi cha kubatizwa jina la utamu wa bazoka. Lakini yote hii inatokana na ukweli kwamba elimu ya mapenzi ambayo ni muhimu kwa binadamu haitolewi ipasavyo. Ipo zana potofu kwamba kumfundisha mtoto mapenzi ni kumharibu, jambo ambalo si kweli bali inategemea mtoto huyo anafundishwa nini na kwa wakati gani. Lakini chakushangaza   zaidi hata watu wazima ambao ni wadau wa mapenzi hawayajui, matokeo yake wanajiingiza kwenye uhusiano wakiwa bumbumbu na hivyo kuteshwa na changamoto   zinazowakabili. Leo tutajifunza kwa undani sifa kumi za mpenzi bora ili tuweze kuwatambua wapenzi wetu kabla ya kuwapa mioyo na utu wetu. Sifa hizo ni hizi zifuatazo. 1: Mpenzi wa kweli ni yule ambaye hatangoja kujua nini unahitaji yaani hana sababu ya kusubiri kuombwa ndiyo atoe msaada. 2: Ni yule atakayejua wakati gani huna furaha au una furaha na atakuwa na wewe kwa hali zote mbili . 3: Ni yule atayekuwa tayari kukusikiliza kwa kile utakachosema, hatojali...

Je Mwanamke Unafahamu Kukata Mauno? Jifunze Hapa Usibweteke Kitandani

Sio siri licha ya kuwa na pilika nyingi mchana kutwa lakini unapoingia usiku hasa kwa wale wanao ishi na wenza wao ni vyema kufarijiana kwa njia hii, ili kuchangamsha mwili na akili kwani kujua kupika na usafi ni mambo ya kawaida lakini  katika nyanja za usiku inabidi uwe fundi na ndio maana nimeamua kukujuza ni jinsi gani unaweza kutaka ili kuwa kivutio au uaridi kwa mumeo kwa wenye waume na wale ambao hawajajaliwa kupata ndoa lakini ndo wanatarajia kufanya hivyo, sasa hakuna mpango wa mji kama huu mwanadada; Jinsi ya Kukata Kiuno ; Usikurupuke mwanadada inabidi ukate kiuono kwa mazoea kwa kufuata utaratibu huu ambao mtembezi.com unakuelekeza;  kwanza Simama wima ukiwa hauna nguo mbele ya kioo ndo itakusaidia vizuri maana kukata kiuono ukiwa umevaa nguo zinaweza kukudanganya,sasa hapa weka mikono yako tumboni alafu sukuma tumbo lako mbele litunishe halafu baki hivyo kwa muda kidogo halafu lirudishe kwa ndani na ubaki tena kwa sekunde chache,hapo inabidi urudie tena huku umebana pumzi ...

Mambo 11 muhimu unayopaswa kumwambia mpenzi wako kila siku

Kutengeneza uhusiano wenye nguvu ni moja ya mambo yenye changamoto kubwa. Japo hakuna maelekezo maalum, kuna mambo machache na rahisi ambayo unaweza kumwambia mpenzi wako yakaujenga zaidi. Weka desturi ya kusema mambo haya kwa mpenzi wako na muda mfupi tu mtakuwa couple itakayowapa wivu marafiki zetu. 1. Nakupenda Nakupenda ni kitu rahisi na cha wazi cha kumwambia mpenzi wako. Hakikisha tu kuwa unamaanisha. Jaribu kulisema neno hilo pindi mpenzi wako anapokuchekesha au pale anapofanya kitu kinachokukumbusha kwanini mko pamoja. 2.Nilikuwa nakuwaza Ni muhimu kumjulisha mpenzi wako kuwa unamuwaza hata kama hamko sehemu moja. Ukiona kitu kizuri au cha kuchekesha katika siku yako ambacho kinakufanya umkumbuke, mjulishe. 3. Siku yako ilikuaje? Muulize masuala ambayo mpenzi wako anakutana nayo katika shughuli za kila siku. Muulize kuhusu huyo mfanyakazi mwenzie anayemkera au kazi kubwa waliyokuwa wakifanya. Kumpa nafasi mpenzi wako kushare sehemu zingine za maisha yake kutasaidia kuunganisha ...

Tendo la ndoa; Tiba Mbadala ya Maradhi ya Moyo, Ubongo, Maumivu ya Kichwa?

INGAWA tendo la ndoa lisipofanywa kwa kuzingatia kanuni na taratibu, sambamba na umakini, linaweza kusababisha maradhi, lakini kwa wanandoa, tendo hilo linatajwa kuwa na manufaa mengi kiafya tofauti na faraja ya kawaida iliyozoeleka kwa wengi. Imefahamika kuwa tendo hili likifanyika ipasavyo husaidia kuondoa msongo wa mawazo, maradhi ya moyo, maumivu ya kichwa yasiyokoma na kupunguza kasi ya saratani ya tezi dume. Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Tiba Muhimbili (Muhas), Dk Yahya Kishashu anasema inategemea tendo linafanywa na nani na mhusika yupo kwenye mazingira gani. “Kwa mfano, tendo la ndoa linaondoa msongo wa mawazo iwapo unayetenda naye unampenda na  amekupa maandalizi mazuri. Sidhani kama alimradi utende hilo tendo na yeyote litakusaidia,” anasema mtaalamu huyo. Anaongeza kuwa  ndiyo maana baadhi ya watu wanatoka nje ya ndoa zao kwa sababu si mara zote tendo la ndoa linawafurahisha wanandoa. “Wakati mwingine tendo hilo laweza kuwa karaha kwao,” anasema Mazoezi Si...

Yajue hapa Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu

Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya: Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo, kupendelea sana kuangalia picha za uchi, Kusahausahau, Kupendelea story za mapenzi, Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke), Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu), Kuumwa na kichwa, Kukakamaa mgongo (wanaume), Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba, Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency), Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno, Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.

Unajua ni Kwanini Wanawake wa Dar es Salaam Huibiwa Waume zao na Wafanyakazi wa Ndani?Sababu kuu Hii hapa

Fikiri hili, wewe ni mwanamke mrembo wa wastani, mwenye hofu ya Mungu. Kila siku jioni huwa unakwenda kufanya mazoezi baada ya shughuli za siku na hii hukufanya uchelewe kufika nyumbani mara kwa mara. Una kazi nzuri na mshahara mzuri wenye tarakimu nyingi kama namba ya simu.  Umeona gari zuri na ukaamua kulinunu tena kwa fedha zako mwenyewe na Mungu akakujali kupata mume mtanashati na baraka ya watoto wawili. Lakini kutokana na wingi wa majukumu unaona utafute dada wa kazi ambaye atakusaidia shughuli za nyumbani. Dada huyo unamtoa huko kijijini Sitimbi na wakati mwingine hata jina la ulipomtoa hukumbuki kwa jinsi lilivyogumu. Mumeo, kama walivyo wanaume wengi wa mjini, wao huwa hawahusiki na kuchagua dada wa kazi. Lakini akija unamuuliza mumeo, umependa huyu dada wa kazi? unamiini atakuwa msaada kwetu. Msichana huyu huyu uliemtoa huko kijijini pengine hajui kushika hata kalamu aandike jina lake. Pengine anamiliki mkoba wake mdogo aliotoka nao kijijini na sura yake ya kuvutia ambayo haj...

Haya Ndiyo Madhara ya Kufanya Mapenzi na Mwanamke Wakati wa Hedhi.

Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana..Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.Hivyo kwa ushauri huwa tunapenda watu wajari sana afya zao na si kuzidumaza na kuendekeza hisia kwani hiloo ndilo kosa kubwa la vijana wengi wa siku hizi...Zifuatazo ni baadhi ya madhara yanayoweza kutokea endapo wawili hawa wakafanya ngono wakati KE yupo katika siku zake{period}..     Madhara kwa Mwanaume. 1.Kupata maambukizi katika njia ya mkojo hadi kwenye kibofu. 2.Maambukizi katika tezi dume(Prostetits) hii inaweza kuathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume. 3.Kuziba kwa njia ya mkojo. 4.Utasa au ugumba. 5.Ulegevu wa misuli ya uume na upungufu wa nguvu za kiume. 6.Athari mbaya ya kisaikolojia kwa kuwa anafanya tendo katika mazingira machafu hali itakayompelekea kutolifurahia tendo kutokana na hali ya umaji maji,utelezi, au harufu kali na mbaya na hivyo kuona kuwa mwanamke n...

MAKONDA AMCHARUKIA AMBER KWA VIDEOYA NGONO

Image
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amemtaka msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Amber Rutty ajisalimishe polisi mwenyewe baada ya picha zake za utupu kuvuja mtandaoni. RC Makonda RC Makonda amemtaka msanii huyo aripoti kwenye kituo chochote cha Polisi kilicho karibu naye kabla ya saa 12 jioni. “ Wakati TCRA wakijipanga kuchukua hatua, mimi namtaka mwenye picha hii kufika kituo chochote Cha Polisi kilichopo karibu na eneo lake kabla ya 12 jioni. Na ukifika waambie umeitwa na Rc Makonda watakupatia ujumbe wako. “amesema RC Makonda. Siku ya jana kwenye mtandao wa Instagram kulisambaa video ya msanii huyo akiwa uchi wa mnyama akiwa amelala kitandani. Tukio hilo la kuvuja video hizo za utupu za Amber Rutty, limekuja masaa machache baada ya Muigizaji Wema Sepetu naye video zake za utupu kuvuja mtandaoni.

Utamu wa Jirani~12

utamu ulikole zaidi hadi yule mama alipotangaza kufika kileleni kwani alitoa yowe kali kisha akanyamaza kimya kama alivyofanya witi..... endelea... Sikujua kama atakuwa amezimia au lah cha zaidi nilichokuwa nakifikilia mda huo nitapata wapi msaada wa kumtoa nje kama alivyofanya yeye kwa witi kichwa changu kilizidi kupata moto kwa mda huo nyoka wangu aliyejifanya ananguvu sasa amenisaliti na kuniacha pekeyangu nikihangaika nifanyaje" mda ulizidi kuyoyoma mamamwenyenyumba akiwa bado amejilaza pale kitandani bila kuonyesha hali yoyote ya unafuu, nikiwa katika hali ya mawazo mara simu ikaanza kuita bila kupoteza mda nikaichukua na kuipokea kisha nikaipeleka sikioni kusikiliza nani mpigaji wa simu ile kwani sikuangalia kwenye kioo wakati napokea, "hallow"niliongea baada ya kuipokea "dada muuza chakula hapa"alijibu nakuja kukif...kabla sijamalizia sentensi ile mlango wangu ukagongwa harakaharaka nikatoka pale niliposimama na kuulekea mlango ili nijue nani aliyekuwa a...

Utamu wa Jirani~11

tukiwa katika hali ile ya kupeana mambo mara mlango wangu uligongwa kwa pupa hali iliyonifanya nitoke juu ya kifua cha mama yule na kuanza kuaufata mlango haraka " mama mwenye nyumba nae akakimbilia kupunguza sauti ya tv huku akionekana kujawa na wasiwasi ulioonekana dhahiri machoni mwake.. ..hofu ya kufumaniwa ilinijia haraka kichwani mwangu harakaharaka nikajitoa kwa yule mama na kwenda mlangoni kujua nani mpigaji wa hodi hiyo "samahani kaka kwa usumbufu tunapitisha daftari la kuchangia fedha ya usafi" aliongea mdada mmoja kati ya wawili walio kuwa pembeni yake wakilitoa daftari hilo "hapana shaka ni shilingi ngapi?" "miatano" baada ya dada yule kuniambia ni miatano ndiyo iliyotakiwa kwa ajiri ya mchango wa usafi nikaludi nyuma hatua chache na kuchukua suluari yangu niliyoilaza kitandani kisha nikapeleka mkono wangu nyuma ya suluari ile na kutoa noti mbili za elfu mojamoja nikailudisha moja mfukoni mle kisha nikaludi kwa haraka pale mlangoni "m...

Utamu wa Jirani~10

Ilipoishia... mamamwenyenyumba akaanza kuvua nguo yake ya juu na kubaki wazi kabisa akisingizia chumbani mle kuna joto.. endelea...... Mamamwenye nyumba aliendelea kuleta vituko mle chumbani kwangu kwani alifikia hatua akavua nguo zake zote na kubaki na kibikini kilichostili sehemu ya mbele kwa kitambaa chepesi chenye kuangaza kila kilichokuwa nyuma yake "et handsome hauna cd za kikubwa maana ninahamu ya kuangalia cd zile"  aliongea mamamwenyenyumba huku akinyanyuka kuelekea sehemu ninapotunzia cd kisha akainama na kuacha sehemu zake nyeti wazi hali iliyoleta mtafaruku zaidi ndani ya boxer niliyokuwa nimevaa" mamamwenyenyumba aliendelea kuinama kwa mitego huku akigeuka mara kwa mara na kunionyeshea tabasamu lililochanganyika na macho yaliyolegea kutoka kwa mama yule aliyeendelea kunipa mitego mikali "mmh hb wangu kumbe nawe unaziangaliaga hizi haya nichagulie moja ambayo unaipenda sana"    aliongea mama yule bila haya na pale alipoona nipo kimya akachagua cd mo...

Utamu wa Jirani~09

nikiwa bado nipokwenye lile lindi la mawazo mara simu ikaanza kuita mpigaji ni yeye manager harakaharaka nikaipokea ile simu kisha nikabonyeza kitufe cha kupokelea na kuiweka sikioni ile simu,  Tiririka nayo... "babe nimechoka mimi naondoka",  ilikuwa sauti ya manager iliyokuwa kwenye mahadhi ya kulalama ikipenya masikioni mwangu hali iliyosabibisha mwili wangu kuongeza spidi kuwahi bila kutaraji, "upo wapi babe", nilimuuliza manager baada ya kufika mahala pale bila kumkuta "nimeshaondoka wewe si umechelewa" "aaah poa ila siku nyingine usiludie kufanya hivyo",  nilimwambia kwa sauti ya kukaripia kidogo "teh teh teh teh" "umeamua kunicheka sindio",  nilihoji kwa hasira za kuigiza elhali moyoni nilihisi maombi yangu yamesaidia kwani sikuwa na mpango wa kuonananae "hamna nilikuwa nakudanganya kwani hujui kama leo sikukuu ya wajinga",  alinijibu manager huku akiendelea kucheka na alipoona kicheko kimemzidi nikakata simu ...

Utamu wa Jirani~08

Ilipoishia... ."inabidi umbebe na kumpeleka chumbani kwake" ....endelea............ "Mimi naenda nje kuangalia usalama ukisikia nimeanza kuimba ule mwimbo wa mwanzo mtoe haraka" Mama menyenyumba aliniambia vile kisha akaanza kuuelekea mlango wangu na kutoka nje huku akitoa tabasamu la aina yake" baada ya mama mwenyenyumba kutoka nje sikutaka kulaza damu nikanyanyuka na kwenda kumbeba witi pale kitandani kisha nikakaa nae pale mlango tayari kusikiliza ishara ya mamamwenyenyumba" mda ulizidi kusonga bila kuonenakana ishara yoyote ya mama mwenyenyumba hofu ya kuhisi mama mwenyenyumba amenisaliti iliniteka kwa mda huo japo sikutaka kabisa kuamini mawazo ya mama mwenyenyumba amenisaliti, "mmmmh mbona anakawia huyu mama au anataka kuniaibisha nilijiuliza pasipo kupata majibu sahihi ya maswali yangu", nikiwa bado nipo pale mlangoni nikifikilia nitoke huku nikijisemea moyoni lolote litakalotaka kutokea litokee mara sauti ya nyimbo ile aliyonifahamisha ka...

Utamu wa Jirani~07

Witi aliendelea kunikumbatia kwa nguvu huku akipitisha miguu yake nyuma ya kiunochangu... endelea.. . witi alionyesha kuzidiwa zaidi hadi kuanza kupiga makelele ya utamu huku akinipa sifa nyingi zilizokuwa kama chanzo cha kuongeza spidi zaidi, stail mbalimbali ziliendelea kutumika kwani hadi mda huo nilikuwa nimesha mtoa witi pale kitandani na kumuweka kwenye kochi langu la sofa huku nikiuchanua mguu wake mmoja juu na kuacha nafasi ya kutosha kupitisha lungu langu shughuli iliendelea kuwa pevu kwani witi alionyesha zaidi dalili ya kupasua nazi ili kuruhusu maji meupe ya dafu kutililika "babe kazana aaaiiiaah" alilalama witi huku akiminya lips zake na kufumba macho yake huku mikono yake akiiamishia kiunoni mwangu na kunigandamiza kwake "aaaaaah mmmh" alitoa mguno wa haja witi kisha nikamuona akilegea na kujiegesha kwenye kochi huku wazungu wake wakimtoka kwa taratibu pangoni, baada ya witi kufanya vile hakuonesha dalili ya kushituka kwani alikwishapoteza fahamu (aliz...

Our Future Love💖

[video width="960" height="540" mp4="http://utamutupu.bongolifeapp.com/wp-content/uploads/2018/10/Untitled-5-960x540-2.13Mbps-2018-10-23-20-05-35-1.mp4"][/video] Our Future Love💖

My Love to You💕

[video width="960" height="540" mp4="http://utamutupu.bongolifeapp.com/wp-content/uploads/2018/10/Untitled-4-960x540-2.13Mbps-2018-10-23-15-19-15.mp4" poster="http://utamutupu.bongolifeapp.com/wp-content/uploads/2018/10/b26db05ca3dffe34400186b99114fb13.jpg"][/video] My Love to U💕

Call It Love,💕

Image
Call It Love,

Utamu wa Jirani~06

ILIPOISHIA....tukiwa katika hali ile mara simu yangu ikaita tena nikaichukua na kuipokea kisha nikaiweka sikioni kusikiliza upande wa pili ENDELEA.. ..."babe upo wapi mwenzio nipo kwenye hali mbaya nimezidiwa" aliongea witi kwa sauti ya kudeka yenye kuvutia "nipo njiani nakuja" nilimjibu huku nikianza jitihada za kujitoa kwenye himaya ya manager "unataka kuondoka" aliongea manager kwa sura ya huruma baada ya kuniona nikijiandaa kuondoka "kuna tatizo limetokea nyumbani" nilimjibu huku nikichomekea shati langu kisha nikamfata na kumpiga kisi moja la lips manager kisha nikatoka ofisini kwake akiwa na hamu kubwa ya kurudia kufanya mapenzi kwa mda huo, nilitembea haraka haraka kwa dhumuni la wafanyakazi wenzangu wasinitambue kwa urahisi nilitembea kwa haraka kiasi hadi mahala ambapo tax huwa zinapaki nikamuita dereva mmoja anaitwa jo ambae nafahamiana nae tukaelewana bei kisha tukaanza safari kuelekea nyumbani, mawazo mengi yalikuwa juu ya witi kwa md...

Sifa za Mwanamke Mnene Kitandani na Raha Yake.

Mwanamke mnene anajua kulia vilio vya kumfanya mwanaume akajiona yuko dunia nyingine, ni mtamu sana, ana joto kali sana ndani ya uke , ana  nyamanyama ambazo hazimuumizi mwanaume wakati wa kutoa mastyle, mwanamke mnene akikaa style ya chuma mboga basi lile sponji la nyuma (liwowowwo) loooote lasababisha maangamizi ya muda mfupi kwa abdalah kichwa wazi , mwanamke mnene ana degree ya kwenda miondoko ya r ...N b kitandani ambayo huwa so romantic na haitoi jasho, mwanamke mnene akivua nguo akalala kifudifudi basi mkaka hata kama anaangalia mpira lazima atadata, mwanamke mnene ana sifa ya kukojoa bila kumwaga maji mengi. Hii ni kwa wale wanawake wanao jitambua yaani wasafi kimwili.