Posts

Showing posts from March, 2019

FAHAMU SMS Ambayo Itamfanya Mwanamke Akutamani

Unaweza dhania kuwa kutuma ujumbe mfupi kwa mwanamke ili umsisimue haifai. Lakini kusema kwa hakika, inawezekana kumtumia mwanamke SMS ambayo inaweza kumsisimua na pia kupata atenshen kutoka kwake. Hii inaweza kufanya kazi vizuri iwapo umeingiwa na kibaridi cha kuongea na mwanamke moja kwa moja. Kabla ujumbe ufupi kuvumbuliwa, wanaume walikuwa wakifuata mbinu nyingine kuonyesha kuwa wamevutiwa na wanawake waliowapenda. Walikuwa wakituma barua, kuambia rafiki wa rafiki zao ama kuwafuata na kuwapigia mbinja majumbani mwao. Lakini kwa bahati nzuri, hivi sasa kuna SMS, ambazo zina uwezo wa kutuma ujumbe mfupi hapo kwa hapo kwa mwanamke ili kurahisisha kazi yako ya kutongoza. Kabla hujaanza kumvutia mwanamke, ni lazima kwanza umfanye akutambue kwa njia chanya kwanza. Mwanzo haupaswi kutumia SMS kumsisimua mwanamke mpaka ile siku ambayo utapata kumsoma na kumjua zaidi. Lazima ujipatie muda ili ujenge connection kati ya nyinyi wawili ili iweze kufanya kazi. Kufanya hivi kutatoa picha ambayo i...

Utundu ya Kumvua Mpenzi Wako Nguo ya Ndani

Miongoni mwa vitu vinavyoleta mashamsham wakati wa kufanya ngono ni ule ustadi wa mwanaume kumvua chupi mwenzi wake kwani huweza kuongeza hisia si kwa mwanamke pekee bali hata mwanaume pia. Zifuatazo ni hatua muhimu za kufuata baada ya kumchezea kiasi ili kumpa ashiki itakayomfanya ajue kwamba yuko katika eneo spesho hivyo aandae akili yake barabara. *Penyeza mikono yako taratiibu ndani ya chupi ya mwanamke wako na anza kuizungushazungusha kugusa kiunoni na makalioni kabla ya kuishusha mithili ya mtu anavyosafisha kabichi ile ya duara kabla haijakatwa,pia waweza binyabinya kimahaba makalio yake. Hii husaidia kuyasisimua makalio na sehemu zingine muhimu na kumfanya awe na shauku ya kungoja kwa hamu tendo litakalofuata. *Ukiwa umejawa hisia za tamaa na hulka ya penzi lake, anza kuishusha chupi hiyo taratibu sana tena kwa step fupi fupi, unashusha kidogo unaendelea kumchezea sehemu mbalimbali,unashusha tena unamnyonya ulimi/kitovu,mpaka pale unapofanikiwa kuishusha kabisa. *Baada ya kufan...

Mbinu ya Kuzuia Kufika Kilele Mapema kwa Wanaume Tu.!❌

Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii Jenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye swala zima la kuwahi kupizi. Hii hutokana na hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu. Pumua vizuri na kikamilifu: Kiungo chochote cha mwili huhitaji nguvu kamili ili kufanya kazi na ndivyo ilivyo kwa habari ya viungo vya uzazi! Unapo pumua vizuri na kwa ukamilifu, kiungo hiki hupata nguvu za ziada. Mbinu mbalimbali za kupumua kama pranayama hujajwa kusaidia sana kujifunza jinsi ya kuzuia kupizi mapema. Baada ya kuinza tu (wakati wa tendo), jaribu kupumua kwa ufasaha ili mwili uweze kupata hisia kabla ya kuanza kufanya msuguano. Mshirik...

Jinsi Ya Kuacha Kupiga Punyeto/Kujichua.

Leo naomba nizungumzie tatizo ambalo nahisi vijana wengi tumekuwa watuhumiwa katika kitendo hiki. Kujichua ni tabia ya kingono ambayo inapofanywa kwa kiwango kikubwa inaleta matatizo ya kiumbo na kisaikolojia kwa anayefanya tendo hilo. Na katika kipindi cha zama hizi ambazo majarida, vipindi na hata mitandao mingi inaonyesha picha za ngono ndio kunaifanya tabia hii kushamiri kwa kiwango kikubwa. Kwani vijana wengi wanaingia katika mchezo huu wa kujiridhisha wenyewe bila kujua madhara yatakayokuja baadaye. Waelimisha rika wengi wamekuwa wakiwaambia vijana kwamba kujichua ndio njia salama ya ngono kwani hatari ya kupata magonjwa kwako haipo na wanaongezea kuwa wafanye kwa kiwango kidogo pale wanapojisikia hamu ya tendo. Lakini wanasahau kuwaeleza madhara yake pindi inapofanywa kwa kiwango kikubwa na pia wanajua wazi kuwa mara mtu anapoanza tabia hii kuitawala kwa kiwango inakuwa ngumu. Baadhi ya madhara ambayo unaweza ukayapata ukifanya kwa muda mrefu: 1.Maumivu ya mgongo kwa chini; 2.Ku...

Jinsi ya kumfanya mwanamke apandwe na nyege. part 2

5. Mnong'onezee katika sikio lake Hii itatekelezwa vizuri iwapo mko katika sehemu ambazo kuna watu wengine. Mfano ndani ya basi, mkiwa na marafiki zenu, katika sinema, viti vya nyuma vya gari ama mkiwa nyumbani wakati mnaangalia kipindi pamoja, itakuwa sehemu bora zaidi kufanya kitendo kama hiki. Usijaribu kuleta ucheshi ndani yake kwa kuwa ukifanya hivyo kutaua mpango mzima. Hivyo msogelee kwa sikio lake na kumsifia kwa jambo fulani. Mwambie kuwa umeshindwa kujizuia kumwambia maneno hayo ya kumsifu kwa mara nyingine. Iwapo unataka kugonga ndipo, unaweza kumsogelea hadi kwa sikio lake na kumwambia kuwa ungependa kutoka out na yeye siku moja. Unapotamka maneno ya  kimahaba katika sikio lake hakikisha ya kuwa unapumua kwa uzito. Kufanya hivi kutasisimua nywele zake za malaika zinazopatikana nyuma ya shingo na mikononi mwake. Pia usisahau kulisha midomo yako kwa sikio lake ili kuleta mtizamo wa kumtesa kwa kujaribu kumla dende kwa sikio lake.   6. Jaribu kumfikia kwa upande mwingine I...

Jinsi ya kumfanya mwanamke apandwe na nyege. part 1

1. Kaa kwa kubanana naye Wakati umekaa na yeye hakikisha ya kuwa hauachi nafasi yeyote kati yenu. Hakikisha ya kuwa mikono yenu inashikana. Ikiwa umeacha nafasi ndogo kati yenu, hakikisha umemsogelea hadi mnabanana. Ukishafanya hivyo, fasta toa tablet/simu yako umuoneshe app yeyote ama habari zozote mpya za udaku ili mradi umchanganye akili ili asisongee mbali na wewe. Hakikisha mikono yako inapata nafasi ya kulisha mikono yake kwa sababu hii ndio njia moja kuu ya kuleta tenshen kati yenu   2. Maslahi yake uyazingatie Usijaribu kutumia lugha ya kutongoza ama utamfanya aanze kukushuku. Tayari anajua kuwa miguso ya mikono yako ya mara kwa mara inaashiria kitu fulani. Kile unachotakiwa kufanya ni kuivuruga akili yake kwa kuleta mada ambayo itamvutia.   Ichukue atenshen yake kwa kumgusia maswala ya udaku ama skendo ambalo umeliskia mahali fulani. Iwapo utaendelea kuzungumza na yeye na kumfanya awe na shangwe, basi atachukulia kubanana kwenu na miguso yenu ya mikono ni jambo la kawaida tu n...

Style Za Kumkojolesha Na Kumfikisha Mwanamke Kileleni Haraka 💦💦

Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kilele kwa upungufu wa nyege au matatizo mengine ya kimaumbile tukiachilia mbali swala la kukeketwa. Baadhi ya wanawake hufikia kilele mara moja tu (tena kwa shugulikiwa kisimi sio ule uhondo wa kumani) kila wanapofanya mapenzi/ngono na wachache wamejaaliwa na hupata uhondo wote wa kufanya mapenzi yaani wanaweza kufika kileleni zaidi ya mara mbili katika tendo/mzunguuko mmoja. Ujuzi au utundu wa mwanaume hausaidii ikiwa mwanamke mwenyewe hajiamini na vilevile hajui ni kitu gani kina “kunyegesha”. Mwanamke anasehemu mbili maalum zinazopelekea kufikia kilele ikiwa zitafanyiwa kazi vyema sehemu hizo ni Kisimi na “kipele G” Wanawake wengi tunakasumba ya kukimbilia “mikao” migumu tukiwafikiria wanaume wetu, sasa mimi nasema hivi; ikiwa unamatatizo ya kufika kileleni hakikisha mnaanza na “mkao” ambao unajua wazi unakufikisha ktk dakika chache badala ya kukimbilia “doggy” ukijua wazi mumeo/mpenzi wako ana mboo fupi au hajui/huj...

Zijue siku hatari kwa mwanamke kupata ujauzito (mimba)

Inafaa tufahamu kuwa ili kuweza kujua ni siku zipi za mwezi mwanamke anaweza kushika mimba (to conceive) inabidi tujua kwanza kipindi ambacho mwili wa mwanamke uko tayari kushika mimba auOvulation Period. Ovulation ni wakati ambao yai lililokua hutoka katika mirija ya ovari katika kizazi cha mwanamke na katika wakati huu uwezo wako wa kushika mimba ni mkubwa. Kwa kawaida mwanadamu huwa na mayai kadhaa katika ovari zake kwa wakati maalum wa mwenzi, ambapo yai kubwa kuliko yote huondoka na kueleka katika tumbo la uzazi kupitia mirija ya ovari. Ovulation haifuati mpangilio maalum kati ya ovari katika kila mwezi na haijulikani ni ovari gani itatoa yai kila mwezi. Wakati yai linapotoka huwa na uwezo wa kurutubishwa au kukutana na mbegu ya kiume na kuanza kutengeneza mtoto kwa muda wa masaa 12 hadi 24, kabla halijapoteza uwezo wake. Iwapo yai litafanikiwa kurutubishwa na mbegu ya kiume kwa wakati maalum na kujikita katika fuko la uzazi basi matokeo yake ni mimba. Na iwapo halitorutubisha yai...

Maswali 10+ Machafu Ya Kumpandisha Mwanamke Nyege Whatsapp

Wanawake wanapenda kuwa wagumu sana kila wakati ikifikia maswala ya kuwatongoza. Ni vizuri kuwa hivyo kwa sababu haitakuwa na maana kwa mwanaume kumpata mwanamke yeyote bila kutoa kijasho. Wakati mwingine inakuwa rahisi kwa mwanaume kumsisimua mwanamke haswa ikifikia maswala ya kumshawishi. Kuna njia tofauti tofauti ambazo unaweza kutumia kumshawishi mwanamke yeyote kuingia katika box lako. Hapa tumekurahishia kazi kwa kukuandalia maswali ishirini ambayo ukimuuliza mwanamke yeyote utamfanya azimie. Maswali haya unaweza kuyatumia mkiwa pamoja ama kama mwanamke anaweza kuhisi fedheha kiasi flani basi ni vyema zaidi kutumia maswali haya katika text, mtandaoni ama Whatsapp. Tumia maswali haya kumuuliza aidha mpenzi wako ama ni mwanamke yeyote yule ambaye huwa unamtongoza. Unaweza kuanza na swali lolote lile ilimradi uwe unachat na yeye muda wote. Hakikisha umetumia maswali nyakati za usiku ili uweze kupata matokeo mazuri. 1. Uko pekeako? Swali hili linaeleweka kuuliza kama yuko pekeake na ...

Mambo Wanawake Wanayotaka Katika Mapenzi Lakini Hawezi Kusema.

Mara nyingi wanawake wamekuwa watu wa kukaa kimya bila kusema wanataka nini ili kuridhishwa katika mapenzi na mbaya zaidi katika swala zima la mahaba, sasa basi kama wmwanaume inabidi kujua nini mwanamke wake anataka kabla ya tendo husika. Mwanamke anapenda ufate anachotaka.Katika mapenzi wanawake wanapenda ufanye kile wanachokitaka japo ni vigumu kujua mwanamke anapenda nini. Kwa hiyo kama ni vigumu kujua kitu gani anapenda basi ni vizuri kuwa makini na kugundua ni kitu gani hapendi ili usimfanyie ambacho hapendi na ufanye anachopenda. Japokuwa si wanawake wote wanaweza kukwambia ni nini hasa kinawauzi, kuogopa kukuudhi, hivyo inawafanya wapate shida sana na kuweka maisha yao yawe magumu. Kwa sababu hiyo wewe kama mwanaume unapaswa kuwa makini na matendo yao ili kujua tofauti ya vitu ambavyo hawapendi na vile vinavyowapa furaha. Kisha fanya vile wanavyovipenda. Hupendela tendo la ndoa lidumu muda mrefu. Wanawake hupenda tendo la ndoa lidumu walau kwa dakika mbili. Na wanatamani ikiwez...

Makosa Wanawakw Huyafanya Kitandani

Karibu msomaji wangu katika safu yetu hii, mada yetu ni ileile na tupo kwenye kipengele kinachosema “Kudhani mapenzi ni kitandani peke yake”, hayawezi kuwa bora kama mtakuwa na mtindo mmoja kila siku. Kama chakula ukila cha aina moja unakinai, hata mapenzi pia.Mapenzi bora ni yale yenye mashamshamu na mizuka mingi. Bafuni inawezekana kukata kiu zenu hukohuko. Nenda naye kuoga, mkiwa huko tumia utundu wako wa asili kumchokoza na kumchokonoa. Ataelewa na mwisho kitaeleweka tu. Kama mpo kwenye nyumba ambayo mnaishi wawili, mnaweza kupeana huduma kwenye korido, sebuleni na mahali pengine popote ambapo patawaruhusu. Tafsiri ya maelezo haya ni kwamba hutakiwi kufikiria kitanda kila siku kwamba ndicho chenye ukomo wa tendo lenu. Tambua pia kuwa kila hatua kuelekea kwenye kilele cha tendo lenyewe, inajitosheleza kuitwa kitendo cha mapenzi, kwa hiyo usibane hisia zako wala usitegee. Jinsi unavyojiachia na kutoa ushirikiano kwa asilimia 100, ndivyo mwenzi wako anaweza ‘kuinjoi’ hasa huduma yako....

Jua Njia za Kuondoa Msongo wa Mawazo (Stress)

Mara nyingi mtu anapokuwa na msongo wa mawazo anakuwa tofauti na vile alivyo na hata ufanyaji wake wa kazi unakuwa tofauti, kama ni kazini anakuwa mwenye unyonge na hata waliopo karibu yake umuona kuwa ni tofauti na vile alivyo. vipo vitu vingi vinaweza kuleta msongo wa mawazo, ikiwa pamoja na kuachwa na mpenzi au matatizo katika mahusiano ugumu wa masomo, kubanwa sana na kazi au matatizo kazini , marafiki, hata ugumu wa maisha. Mara nyingi inaqweza isiwe kawaida kwako kugundua haraka kuwa uko katika hali kama hiyo ingawa pia wapo wanaotambua na kutafuta msaada wa haraka kwa watu wao wa karibu, lakini dalili za mtu mwenye msongo wa mawazo ni pamoja na ;- kulala sana bila mpangilio na isivyo kawaida kutokupata usingizi kabisa hasa wakati wa usiku kupoteza kumbukumbu ya vitu vingi mabadiliko katika tabia yako ya kula kuwa na hasira, kukataa tamaa na mara nyingi hata kujikuta unalia bila sababu. mara nyingi unakuwa na wasiwasi na hujiamini. Nini cha kufanya ili kuondoa msongo wa mawazo. J...

Umuhimu wa Tendo la Ndoa Kiafya (+18)

Wataalamu wanasema kuna umuhimu kubwa kwa mwanadamu kufanya tendo la ndoa kwa ajili ya kuimarisha afya yako,kwanza kabisa inapunguza mafuta mwili lakini pia inasemekana kuwa endapo mtu anafanya tendo la ndoa mara tau kwa wiki ndani ya mwaka mzima ni sawa na kukimbia maili75,tendo la ndoa uongeza vizalishi 150 katika mwili ambapo kwa nusu saa ni sawa na kukimbia dakika 15.Sio hayo tu umuhimu mkubwa wa tendo la ndoa unakuja katika yafuatayo’ kuongeza mwendo wa damu mwilini. Tendo la ndoa uongeza kasi ya mtiririko wa damu katika mwili wa mwandamu, hasa katika ubongo na sehemu mbalimbali, lakini pia hii usaidia zaidi usaidia zaidi kasi ya mapigo ya moyo na katika mfumo wa upumuaji. Msukumo mzuri wa damu mpya yenye oxygen husaidia zaidi katika uunguzaji mzuri wa chakula lakini pia ni vizuri kwa sababu usaidia kutoa uchafu katika mishipa ya damu ambayo ingeweza kumfanya mtu kuumwa mwili. Kupunguza mafuta mwilini(cholestrol) Tendo la ndoa uweka uwiano sawa kwa mafuat yenye kileo mwilini yaan...

Jinsi ya Kufanya Uume usimame kwa Muda mrefu Bila Kumwaga

Kwenye tendo la ndoa wanaume wengi inawachukua dakika 3 adi 7 kufikia mshindo(Ejaculation), lakini asilimia 87 ya wanawake hupendelea kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu zaidi. Hapo ndipo wanaume wengi huzalilika kwa wake/wenzi wao na kuonekana sio wanaume wa kweli kwa kushindwa kufanya mapenzi au tendo la ndoa kwa muda mrefu. Ondoa shaka na hofu, Leo nimekuletea mbinu uweze kujifunza mwenyewe jinsi ya kufanya ngono kwa muda mrefu zaidi na usiaibike tena kwa mpenzi au mwenzi wako . 1. Mazoezi ya Kuukaza Uume. Zoezi la kwanza :  Wataalamu wa mambo ya mahusiano na mapenzi wamethibitisha zoezi la misuli ya uume liitwalo (PHYSIOTHERAPY) ambalo hurudisha uwezo wa nguvu za kiume za asili. Zoezi hili halina madhara kiafya na unaweza kulifanya mahali popote au muda wowote ule. JINSI YA KUFANYA ZOEZI HILI :  Ukiwa umekaa anza kujibinya kama mtu uliyebanwa na mkojo kwa muda mrefu alafu choo kipo mbali sana, bana ili mkojo usikutoke kwa kukaza misuli yako ya uume. Hesabu 1 mpaka 7 kisha achia ku...

Huu Ndio Utundu Komesho Kwa Mwanamke Kitandani

Karibuni katika somo jingine ndugu wapenzi wa Elimu Kuhusu Mapenzi na Mahusiano kumekuwa na maombi kama huwezi kumfikisha mwanamke kileleni basi unausika katika hili somo!!!!...Wengi wakitaka kujua ni namna gani ya kumfikisha mwanamke kileleni kwa kuzani hawana nguvu za kuhimiri kufanya tendo kwa muda mrefu bila kufikiri kuwa kumuandaa mwanamke kabla ya tendo kunaweza kukusaidia katika kumridhisha. Wanaume wengi huwa hawana maandalizi mazuri kwa wanawake wao kabla ya tendo la ndoa yanayoweza kuwasaidia kama kichochezi cha kuwafikisha kileleni mapema. Basi njia hizi zinaweza kuwa msaada mkubwa endapo zitatumika ipasavyo na hata yule ambaye ulikuwa umridhishi baada ya somo hili utaweza kumlidhisha ipasavyo kwa kumfanyia yafuatayo. 1.Mpe maneno matamu okimtomasa kwa ulimi sikio lake kimahaba zaidi Pitisha ulimi wako shingoni kifuani, tumboni, mapajani ni ikibidi zama chumvini walau kwa dakika kumi hivi Tumia ulimi wako ipasavyo kutomasa kitovu chake Mnyonye lita kadhaa za mate...

Kelele Za Mahaba Kitandani

Kwa mwanaume hakuna kitu kinakuwa sexy kama mwanamke ambaye anakuwa loud kitandani na si kuwa na vikelele tu bali kujihusisha moja kwa moja kwa mwanamke katika kuongea maneno matamu au sweet words). Mwanaume akiwa kwenye game anapenda sana kujua mke wake anajisikia vizuri kwa kile anafanya na kwamba mwanamke anaonesha total participation, pia vile mke unatamka jina la mume wako kwa manung'uniko ya kimahaba huleta raha sana pamoja na vikelele vingine kama vile ooooh! aaah! mmmh! nk humpa uwezo zaidi mume kuendelea kukurusha kwa namna ya ajabu na kuweza kukuridhisha inavyotakiwa. Kawaida mume huaanza kukuuliza kama kile anafanya unakipenda na kwa njia hii ni vizuri wewe mwanamke kumweleza vile unajisikia na unaweza kuji-express kwa uwezo wako wote na hapa ndipo unaweza kuongea sweet word zote (ulizojufunza au kadri feelings zako zinavyokupa taarifa kwenye kiungo kile kinapata raha au kinaguswa kwa mguso mtamu zaidi) si unajua mapenzi ni sana na msanii mzuri anajua nini aongee na aong...

Sababu ZinazoWafanya Wanawake Kutafuta Mabwana Nje Ya Mahusiano Yao.

JAPOKUWA wanawake bado hawajapita wanaume katika suala la kutoka nje ya ndoa, idadi ya wanawake wanaotoka nje ya ndoa na kutafuta mabwana wengine ili kuwatimizia haja yao ya tendo la ndo imeongezeka, kwa hapa nyumbani inasemekana kati ya asilimia 14-16 ya wanawake walio kwenye ndoa wameshalala na wanaume wengine takribani mara moja katika maisha yao ya ndoa. Wanaume wapo juu kidogo, kati ya asilimia 20-30, wameshatoka na wanawake wengine, wengi wao wakiwa ni wanawake ambao wanafanya nao kazi au marafiki wa karibu. Yafuatayo ni baadhi ya mambo yanayosababisha wanawake watike nje ya ndoa. 1. Uhaba wa tendo la ndoa. Unakumbuka wakati mnaanza kutongozana na kuchumbiana, meseji na simu haziishi bebi nakupenda bebi sijui nini. Ghafla watoto anapata mimba, watoto wanazaliwa, majukumu yanaongezeka, kazi zinazidi. Ukirudi nyumbani wewe ni kula kuoga na kulala, unasahau kwamba wanawake siku zote wanataka wajione wanatakwa, kama unajifanya humtaki na humuonyeshi kama yeye ni mzuri, ataenda kutafu...

Ubunifu Katika Maisha Ya Mapenzi

WAPO wanaojuta kupenda lakini mbaya zaidi wapo wanaolia kwa sababu ya vitu vidogo vidogo ambavyo vimekuwa haviwaendei sawa katika uhusiano wao. Ni jambo lililo wazi kwamba, usaliti umekuwa ukiwatesa wengi tena ukijaribu kuchunguza sababu za baadhi ya watu kuwasaliti wapenzi wao, kutoyajua mapenzi yale ya faragha ni moja wapo. Wapo wasichana au niseme wanawake ambao kimaumbile wana mvuto sana. Wamejaaliwa uzuri wa sura na kila kitu kiasi cha kutamaniwa na kila mwanaume wanayekutana naye. Lakini linapozungumziwa suala la mapenzi kwa mwanamke, wanaume wanaangalia vitu vingi, achilia mbali hilo la muonenako, pia wanaangalia utundu na ubunifu wa faragha. Hapo ndipo panapowakosesha raha baadhi ya wanawake wazuri. Wanakuwa ni wenye kupata bahati ya kupendwa lakini hao hao ndiyo wale ambao kila siku wanaachwa. Si jambo la ajabu huko mtaani kukutana na msichana mkali ile mbaya lakini akawa si mtu wa kutulia na mwanaume kwa muda mrefu, kwanini? Kwa sababu hayajui mapenzi. Ni tatizo siriasi ?. Ms...

Pillow talk - Maongezi Nane ya Kitandani Ambayo Yatamfanya Akupende Sana

Pillow Talk ni aina ya maongezi unayokuwa nayo wewe na mpenzi wakowakati mmelala wote kitandani. Na tofauti na mitazamo hasi ya wengi, Pillow Talk siyo lazima ihusishe mada ya kimapenzi au kushikana na mpenzi wako ukiwa kitandani. Aina 8 za maongezi ya kitandani ambayo ni amaizing! #1. Kufananisha. Hii inaweza kukushangaza, lakini kama binadamu, hupenda kujifananisha na wengine kama tunataka kufurahia kuhusu sisi wenyewe. Yalinganishe mahusiano yenu ya mapezi na mahusiano ya kimapenzi ya marafiki zenu wa chuo au kazini. Wote mtajisikia furaha kama mahusiano yenu ni mazuri zaidi ya wengine. Na kama kuna kitu mnakitamani kutoka kwenye uhusiano wa wenzenu, wote kwa pamoja mtajikuta mnafana mabadiliko ili kuimarisha maisha yenu ya kimapenzi. #2. Ndoto za baadae. Ongeleeni kuhusu matarajio yenu na ndoto zenu katika maisha. Maongezi ya aina hii huwafanya kuzijua ndoto za mwenzako na matarajio yake ya baadae na ni jinsi gani mnaweza kusaidiana ili kuyafikia malengo yenu. Hii inawafanya muwe k...

Jinsi Gani ya Kuongea na Msichana Bila Kupungukiwa Swaga

Moja ya vitu ambavyo ni vigumu kwa wanaume wengi kufanya ni kumfata msichana anayemtaka kwa mara ya kwanza. Kuchati na mwanamke ni kitu rahisi sana hatakama hamkuwahi kuonana, lakini kumfata ndipo kwenye utata. Wakati unapohitaji kumfata msichana ambaye haukuwahi kuongea nae kabla, na ukahitaji kuanzisha maongezi, moyo huanza kwenda kasi kama ngo'ombe anayekwenda machinjoni. Fata hizi hatua 10 kwa uda huu mfupi, na kabla haujafika huko, kujua jinsi ya kuongea na mwanamke unayemtaka itakua rahisi kama vile mtu anayetembea kwenye bustani. Unapenda sana kuongea na wanawake wa hadhi(high status), si ndiyo? Kama vile upendavyo, vivyo hivyo wanawake hupenda kuongea na wanaume wa viwango. Kwa maana hiyo, hakuna cha kuogopa hapa!. Kumbuka, sheria kubwa ya kuijua wakati unataka kujua jinsi ya kuongea na mwanamke unayemtaka - hautakiwi kuvuka hatua. Kama ulivyojifunzaga kutembea kabla haujajua kukimbia, unatakiwa kujua jinsi ya kumtamanisha hata kabla haujaongea nae. Sasa Twende.. # 1Mfanye ...