Posts

Showing posts from July, 2019

FOR GUYS: 7 Things Almost Every Woman Wants Immediately After Sex

A lot of the times men focus more on what to do and what not to do before s*x and during s*x, but very few men focus on what the women want after s*x. S*x requires quite a lot of emotional and physical involvement for it to be above ordinary, and knowing what your partner wants (both physically and emotionally) before, during and after s*x is what would make it awesome. Like people say ‘different strokes for different folks’, but a lot of women would really love the following after a nice time in the sheets: 1. CUDDLE Most women love to cuddle with their man after s*x; it provides that emotional connection with their man, and makes them feel special and wanted. It somewhat passes a message that you enjoyed every bit of it and really do care as well. Whereas when you refuse to cuddle after s*x, you pass a message of being uncaring, selfish and only wanting them just for your s*xual pleasure. 2. FON DLING While some women love to be left alone after s*x, most also love to fondled; this l...

Kunyoa mavuzi ni pambo kwa mwanamke,Soma hapa

WANAWAKE wengi watakiri kuwa mavuzi ni kero hasa katika kudumisha usafi au kuonekana nadhifu wakati wa mahaba. Sababu hii imewapelekea wengi kutafuta mbinu na bidhaa mbalimbali kuondoa nywele hizi na kuhakikisha kuwa sehemu hii inaoenekana wazi na nyepesi vilivyo kwa kunyoa kwa mashine, krimu au hata nyembe huku mabinti wengine wakiamua kuvumilia uchungu unaoambatana na utaratibu wa kutumia mchanganyiko maalum wa nta (waxing), mtindo maarufu siku hizi hasa kutokana na sifa yake ya kuacha sehemu iliyonyolewa ikiwa nyororo na laini kwa muda mrefu. Aidha kampuni zinazotengeneza bidhaa hizi zimekuwa na kibarua cha kutoa bidhaa mpya kila kuchao, nia ikiwa kuvutia soko la wanawake wanaotaka sehemu hiyo kusalia nyororo kama ya mtoto mchanga. Lakini huku majarida ya wanawake yakiendelea kuchapisha makala yanayopiga vita nywele hizi, maelfu ya wanawake katika sehemu zingine ulimwenguni wanatafuta mbinu za kuhifadhi vichaka hivi. Korea Kusini ni mojawapo ya nchi ambapo idadi ya wanawake wanaofan...

Jinsi Ya Kumtongoza Mwanamke Katika Mtandao Wa Facebook

Hakuna kitu cha furaha ambacho kinapoteza muda haraka kama kuchat katika mitandao ya kijamii. Nzuri zaidi ni pale wakati unapochat na mwanamke ambaye umeanza kujuana naye kwa mara ya kwanza. Kuchat huku kunakuwa na misisimiko aina yake. Kiufupi hauwezi kuieleza furaha yake. Uzuri wa kuchat aina hii pia kuna kuja wakati ambapo una tajriba na ujuzi ambao unaweza kuutumia haswa ukiwa unapomtongoza mwanamke kwa njia ya kistaabu katika mitandao hio ya kijamii haswa Facebook. Wengi hujaribu kutumia mbinu zao zote kuwatongoza wanawake katika Facebook lakini wengi huambatia patupu. Hivyo basi leo Nesi Mapenzi tumekuja na njia ya haraka ambayo unapaswa kuitumia ili uweze kufanikisha azma yako ya kuifaidi mitandao ya kijamii asilimia 100. Hatua ya 1 Ukianza kuchat na mwanamke usisahau kutumia ile mistari ya kwanza kabisa ambayo wengi hupenda kuiita banta. Ama wengine hupenda kusema ni maneno ya bahati. Kila mtu huwa na mistari yake, lakini kuna ile ya kawaida ya “vipi mrembo hali yako” ama “mamb...

Ijue Style InayoWakojolesha Maelfu Ya Wanawake Ndani Ya Dakika Moja!!!!

Kuna watu wengi sana wanajiuliza juu ya namna ya kumtosheleza mwanamke ndani ya wakati mfupi lakini wanakosa ubunifu ama ufundi wa kutimiza ndoto zao. Zingatia hivi vitu wakati wa tendo ili kumkojolesha fasta huyo mwanamke wako: 1. Fanya utafiti juu ya sehemu ambazo zina nyege nyingi zaidi ndani ya mwili wake kisha zishughulikie zaidi. Mfano, masikio, mapaja, maziwa, denda, kitovu, shingo nyayo, makwapa, nk. 2. Fanya utafiti juu ya style inayompandisha nyege na hivyo kupiga makelele kutokana na utamu, kisha uwe unampigisha zaidi style hiyo. Mfano, kichuma mchicha, kifo cha mende, kusimama, katerero, nk. 3. Hakikisha kuwa uume wako unakuwa na nguvu kwa muda mrefu bila kudhohofika kivyovyote. Yaani, uume usilale kila wakati kwa sababu utamkatisha safari yake ya kuelekea kileleni. Mfano, kula dona, matunda, ubwabwa usio na mafuta mengi, mboga mboga za majani, bamia, nyanya chungu, nk, kwa wingi sana. -Epuka ama punguza sana, kunywa pombe, soda na juisi za rangi. Na usile chips, mikate, ch...