Posts

Showing posts from February, 2019

Mwanamke Ukiona Unatongozwa na Kila Mwanaume Ujue Wewe Ni....

Kuna wanawake kadhaa huwa wanafurahia sana kuwa wao kila wanapopita wanaume wanawatongoza. wanaongea kwa majidai sana na furaha kama vile ni jambo la kujivunia. Ukweli ni kuwa mwanamke ukiona unatongozwa kila sehemu na kila mwanaume ujue wewe ni kimeo sana. sana yaani kila mtu anaona kuwa ana uwezo wa kukupata. unakuwa kama vile daladala au bodaboda kila mwenye uwezo wa kusimamisha anasimamisha. ni kuwa upo kiwango cha kuwa used anytime na anybody. so epuka hali inayokufanya uonekane cheap. usifurahie kuwa kila unapopita watu wanapiga miluzi na kukufurahia wakikuita ukaona kuwa una nyota ya kupendwa. ujue una nyota ya mbwa kupigiwa miluzi au nyota ya uchafu kufuatwa na inzi. haiwezekani kila mtu anakusimamisha kukutaka kimapenzi. muuza maji, dereva wa boda boda, dereve wa daladala. dereva taxi, jamaa tu njiani kakuona, mwanasheria,ukienda hosp dokta anakutaka, nurse naye anakutaka, ukienda shule mwalimu naye anakutongoza. ukienda ofisi flan hr naye anakutaka, mlinzi naye... Yaan wewe u...

Aiiiss aah aah…. Sehemu ya Mwisho (6)👉👌💦

“Zamani…” alijibu Pat. “Umefanya kosa kubwa sana, unajua hiyo ndiyo ilikuwa sehemu mwafaka ya kuweza kumnasa, tungetengeneza bonge la fumanizi…” alisema Tabu. POROMOKA NAYO… Siku zikapita na wakawa wamemkosa kumfumania Eddy akiwa na Queen. Wasichana hao wakaendeleza umoja wao huo wa kutaka kumfedhehesha Eddy, wakaambiana kwamba wasikubali kumpa uroda na ikitokea mmoja wao akimwingiza kwenye anga zake basi kwa njia yoyote ile awashtue wenzake ili wamfumanie naye. Makubaliano hayo yakapita bila ya wasiwasi. Jumapili moja, Pat alikuwa amekaa kihasarahasara nyumbani huku akiwa hana cha kufanya na kukosa pa kwenda. Siku hiyo nyumba ilikuwa nyeupe kila mtu alikuwa amekwenda kwenye mihanjo yake. Bila ya kutegemea, Pat akiwa anapita ukumbini na Eddy akitoka chumbani wakakutana uso kwa uso. Pat hakuwa na ili wale lile, Eddy wazimu ulikuwa tayari umeshampanda, akawa anataka kukata kiu yake, hivyo moja kwa moja akalikumbuka lile chombezo liliwahi kuandikwa na Mommadou Keita la Kamata dagaa Piga. ...

Aiiiss aah aah…. Sehemu ya Tano (5)👉👌💦

Mtu aliyekuwa akifuatilia sauti hizo hakuwa mwingine zaidi ya Mwamvita ambaye alikuwa amehaha kutaka kujua mahali alipokuwa Eddy kwa wakati huo. Alichungulia chumbani kwake, akaona taa ilikuwa ikiwaka lakini hakukuwa na dalili za uwepo wake, aliporidhika akaendelea na uchunguzi wake katika chumba cha Rehema nako akaambulia patupu. Kwa kuwa alikuwa na uhakika kwamba Eddy alikuwa amerudi akasogea hadi katika chumba cha Queen ili kuhakikisha kama alikuwemo humo. Alipopata jibu kwamba hakuwemo, akatoka hadi uwani ambako aliingia hadi msalani ili kuhakikisha kama Eddy alikuwa huko. Akiwa msalani ndipo alipoweza kusikia mtu akimwaga maji bafuni, hapo akaamini kwamba mwanaume huyo alikuwa akioga. Aliporidhika akawa hataki kutoka uwani, akawa anarandaranda ili aweze kumnasa Eddy kwa kuongea naye papohapo lakini alikaa kwa muda mrefu bila ya kuona dalili ya mtu kutoka bafuni. “Kwa nini hatoki, mbona amechukua kitambo kirefu sana,” aliwaza. Akiwa anamfikiria mwanaume huyo ndipo alianza kupatwa n...

Dalili za Kwanza Kabisa za Mimba Changa - Wiki Moja na Kuendelea

MWANAMKE anapopata ujauzito kwa kawaida huwa anaanza kuona dalili ambazo si za kawaida. Na ni wakati huo ambao ni muafaka kwake kuanza kuuchunguza mwili wake. Maumivu kwenye matiti: Hii ni dalili ya kawaida ya ujauzito ambapo nguvu za homoni mwilini huongezeka wakati yai linavyopata “rutuba”, jambo ambalo huongeza wingi wa damu na kuyafanya matiti ya mwanamke kuvimba na kuwa makubwa isivyo kawaida. Maumivu mwilini: Utaanza kusikia maumivu kama vile unataka kuingia katika siku zako. Kwa kawaida hali hii hutokea wakati yai likiwa linasafiri kwenda katika chumba cha mimba. Hivyo, hali hiyo husababisha sehemu hiyo itanuke taratibu na kusababisha maumivu hayo. Kutokwa damu bila kutegemea: "Wanawake wengi hufikiria kutokwa na damu kidogo ni dalili ya kuwa katika siku zao. Lakini, katika hali halisi, kutokwa damu kusikotegemewa, huwakumba asilimia 25 ya wanawake wakati wa kurutubika kwa yai,” iwapo utaona hedhi yako inakuwa fupi au inafanyika katika hali ambayo si ya kawaida, unashauriwa...

Aiiiss aah aah…. Sehemu ya Nne (4)👉👌💦

wote watatu wakashtuka kuona wamevamiwa, Eddy akaanza kutafuta nguo za kujistili hali kadhalika kwa Rehema. “Kuna nini jamani?” alisema Mwamvua ambaye alikuwa wa kwanza kuingia chumbani humo. Hakuna aliyemjibu, bali Rehema na Queen waliendelea kuvutana kwa lengo la kushikishana adabu. Baada ya kuona kile kilichokuwa kikiendelea, Mwamvua akapiga kelele na kuwaita watu wengine ambao walikuwa wameishia mlangoni na kumtanguliza yeye kama chambo. Nao wakazama chumbani humo na kukuta kimbembe kikiwa kimekolea, Rehema na Queen walikuwa wamevaana na kuangushana chini kila mmoja alikuwa akifoka kivyake vyake. “Jamani tafadhali jamani, hebu waamulieni…”alisema baba mwenye nyumba ambaye naye alishafika. “Kuna nini kwani? nyumba hii kila siku majanga…” alisema mama mwenye nyumba. Kila mmoja kati yao, Rehema na Queen hawakuweza kusema kile kichowafanya wagombane. “Hebu wewe baba twambie…” baba mwenye nyumba alimgeukia Eddy. “Hata miye sijui kilichokuwa kikiendelea, nilikuwa nimelala mara wakaja haw...

Aiiiss aah aah.... Sehemu ya Tatu (3)👉👌💦

Miguu ikamtetemeka na kumfanya akose nguvu, akajitahidi na kuuegemea mlango huo. Akachanganyikiwa kabisa kwani alijua kulikuwa na shoo ya siri iliyokuwa ikipigwa chumbani humo. Wapiga shoo walikuwa wamejisahau na kufungulia spika zao kwa nguvu zao zote, aidha kwa kuzidiwa na furaha au kwa kujisahau. alitaka kuvamia chumbani kwa eddy lakini akaona ngoja aangalie mchezo hadi mwisho wakishamaliza ndio awafumanie alisubiri nusu saa bila Irene wala Eddy kutoka chumbani akaamua kusubiri mlangoni ili irene atoke amfanyie fujo "ngoja nijilaze hapa mlangoni wakifungua tu nitasikia" "yaani irene ni wakunifanyia hivi mimi malkia wa nyumba hii hata siamini" aliongea, alisononeka sana rehema akaamua kulala mlangoni kwa Eddy na kusubiri watoke hatimae akapitiwa na usingizi BAba mwenye nyumba alitoka chumbani kwake kwenda kujisaidia alipotoka kufika mlangoni kwa Eddy akamkuta rehema amelala huku mzigo ukiwa umebaki nje Baba mwenye nyumba kuona hivyoMidomo ikawa inamcheza na mate k...