Aiiiss aah aah…. Sehemu ya Mwisho (6)πŸ‘‰πŸ‘ŒπŸ’¦

“Zamani…” alijibu Pat.
“Umefanya kosa kubwa sana, unajua hiyo ndiyo ilikuwa sehemu mwafaka ya kuweza kumnasa, tungetengeneza bonge la fumanizi…” alisema Tabu.

POROMOKA NAYO…

Siku zikapita na wakawa wamemkosa kumfumania Eddy akiwa na Queen.
Wasichana hao wakaendeleza umoja wao huo wa kutaka kumfedhehesha Eddy, wakaambiana kwamba wasikubali kumpa uroda na ikitokea mmoja wao akimwingiza kwenye anga zake basi kwa njia yoyote ile awashtue wenzake ili wamfumanie naye.
Makubaliano hayo yakapita bila ya wasiwasi. Jumapili moja, Pat alikuwa amekaa kihasarahasara nyumbani huku akiwa hana cha kufanya na kukosa pa kwenda.
Siku hiyo nyumba ilikuwa nyeupe kila mtu alikuwa amekwenda kwenye mihanjo yake.
Bila ya kutegemea, Pat akiwa anapita ukumbini na Eddy akitoka chumbani wakakutana uso kwa uso.
Pat hakuwa na ili wale lile, Eddy wazimu ulikuwa tayari umeshampanda, akawa anataka kukata kiu yake, hivyo moja kwa moja akalikumbuka lile chombezo liliwahi kuandikwa na Mommadou Keita la Kamata dagaa Piga.
Akili ikamtuma kwamba alikuwa akiweza kupiga shoo ya fastafasta kisha kuambulia ushindi wa goli moja bila ya majibu.
Tayari alishasoma mazingira ya nyumba jinsi ilivyokuwa, wakati akipishana na Pat, ghafla akahama upande wake na kumshika mkono msichana huyo.
Pat hakutaka kugusana na mwanaume huyo akataka kujinasua mkononi mwake lakini hakuweza.
Kila alivyojitahid ili kujichomoa katika mikono ya Eddy, ndivyo mwanaume huyo alivyoendelea kumdhibiti kisawasawa.
Eddy, akaupeleka ulimi wake mdomoni mwa Pat, lakini msichana huyo hakuupokea akaufumba mdomo wake.
Eddy akajua kwamba binti huyo alikuwa amekasirika na hakutaka kufanya vile alivyokuwa akitaka yeye, akaanza kumfanyia utundu wake.
Akamshika kwenye nyonga na kumminya kidogo, Pat akapiga kelele:
“Nini bwanaaa…?” Eddy hakumjibu akaendelea kumminya sehemu nyingine za maungo yake ili kumlainisha.
“Aaaah bwanaaa…!” Pat alisema tena na kumwachia upenyo Eddy kupenyeza ulimi wake kwenye kinywa chake.
Mpaka kufikia hapo, Pat hakuwa na nguvu za kuuzuia ulimi huo, akajikuta akiupokea na kutoa ushirikiano kwa kiwango kikubwa.
Pat aliamini kuwa labda akifanya hivyo, Eddy atamwachia, kumbe haikuwa hivyo mwanaume huyo akazidisha utundu zaidi akahamisha mkono wake wa kuume na kuupeleka kwenye embe sindano ya kushoto ya Pat, akaiminya kidogo.
Taratibu Pat akawa ananyong’onyea kwa kuishiwa nguvu, macho yake yakaanza kubadilika rangi na kuwa mekundu kuliko hata wekundu wenyewe.
Pamoja na kuwa na hali hiyo, bado Eddy hakumuacha, akazidi kumchanganya kwa kuisambaza mikono yake katika maungo ya msichana mmoja.
Hatimaye Pat akajikuta akinogewa na kila alichokuwa akifanyiwa na Eddy, akaanza kulialia kwa kutoa sauti yake halisi ya kike.
Mwanaume huyo akaamua kujiokotea dodo chini ya mwembe na kumshika Pat kisha akamnyanyua na kumwingiza chumbani kwake, wala hakutaka kumpeleka kwenye dimba la fundi seremala, mechi ilihamia mchangani chini ya sakafu kwenye zuria, segere likaanza kuchezwa.
Kukurukakara hizo zikawa zimehamia chumbani humo, Pat akajikuta akiishiwa nguvu kabisaaa, akawa hajitambui kwa machejo aliyokuwa akipewa, hatimaye akajikuta chuma kikoli moto.
Pat akajikuta akiokota mpira wavuni baada ya kufungwa bao la tik-tak na Eddy. Mara baada ya kumaliza ndipo akakumbuka maazimio aliyokuwa amekubaliana na wenzake.
Msichana huyo akaanza kulia, kitendo kilichomshangaza sana Eddy.
“Nini tena, mbona unalia…?”
“Sitaki…!” alisema Pat kwa hasira huku akiutoa mkono wa Eddy maungoni mwake.
“Unalia nini baby?” Eddy aliendelea kuuliza bila ya kujua kile kilichomo kwenye akili ya Pat.
“Wee si umetembea na dada Queen?”
“Kwani siku zote ulikuwa hujui…?” Eddy naye alimuuliza Pat huku akinyanyuka sakafuni na kuchukua taulo kwa ajili ya kwenda kuoga.
***
Mpaka usiku ulipokuwa ukiingia Pat hakuwa na raha hata kidogo na kuamua kwenda kulala mapema hali iliyowashangaza wenzake Tabu na Mwamvita.
Wasichana hao hawakujua kilichomsibu mwenzao, wakaamua kumtafuta mwenzao huyo. Walipompata walimuona akiwa mnyonge sana wakamuhoji kulikoni.
“Sijui yule mwanaume ana dawa…?” alianza kusema Pat.
“Nani tena?” Tabu akauliza.
“Si huyo Eddy…”
“Kafanyaje tena…?” Tabu aliuliza tena na kumfanya Pat ashindwe kusema kitu chochote na kunyamaza kimya hali iliyomtia hofu Mwamvita.
“Au umempa?” alihoji Mwamvita.
Pat wala hakutaka kujibu ila aliangua kilio na kuwafanya wote wapate jibu la swali alilouliza Mwamvita kwamba Pat alikuwa ametoa uroda.
“Ilikuwaje kwani…?” Tabu alidadisi tena.
“Yaani ni vigumu hata kuelezea mazingira yenyewe… ni aibu tu…,” alijitetea Pat kisha akaanza kushusha kisa kizima jinsi kilivyotokea mwanzo hadi mwisho.
“Nawe ulijilegeza tu… mtoto wa kike kama hataki hataki tu hata mwanaume afanye nini…” alisema Mwamvita.
ilipofika usiku eddy alirudi na kuignia chumbani kwake kumbe wakati huo Mama Mwavita nae alikuwa akimsubirti ili ajue utamu wa kijana huyo ..............alipoingia tu eddy chumbani kwake Mama mwavita nae akamfuata chumbani kwake
Haaaaaaa!!!!! na wewe unataka nini?
"Ssshhhhhhh? mama mwavita akamuwekea kidole mdomoni
"njoo nikupe raha za dunia achana na vinuka mkojo
muda huo eddy alikuwa bado anafikiria kwann wanawake wnamshobokea sana ghafla akavutiwa kitandani na lile lijimama na shughuli ikaanza
**************************************
"Ameingia tayari" pat aliwaambia mwavita na tabu
una uhakika" mwavita aliuliza
ndio nina uhakika tena ameingia na mwanamke nadhani atakuwa ni rehema"
basi wewe mwavita anza kuingia ili tujue kama kweli yupo au hayupo halafu sisi tuvamie
sawa" alijibu mwavita na kuvamia chumba
"Mwavita alipoingia chumbani kwa eddy na kukuta eddy akiwa na mama yake wakilisakata pale kitandani
""Haaaaaaahhhhhhhh Eddy
wote walishtuka
Mwavita Alizimia palepale… hali hiyo iliwashtua wenzake nao walipovamia nao hawakuamini kile walikiona mbele yao.

Mke wa baba mwenye nyumba, mama yake na Mwamvita ndiye aliyekuwa akigonga shoo na Eddy.
Lilikuwa jambo la kushtua na lisilotarajiwa na wasichana wote waliokuwa wakiishi katika nyumba hiyo.
Mama huyo alitoka chumbani kwake na kumuacha baba mwenye nyumba akiwa amelala na kwenda kula uroda na Eddy.
Wasichana wote walipowaona wawili hao walipigwa na bumbuwazi, hawakutaka kuamini kama ni kweli lakini hawakuwa na budi kwa kuwa kila kitu kilikuwa hadharani.
“Haya sasa ni majanga… jamani majangaa,” alisema Rehema ambaye siku zote alikuwa haivi chungu kimoja na mama mwenye nyumba huyo.
Wasichana wengine wakazinduka na kuanza kupiga kelele zilizowafanya majirani na watu wengine kuamka na kudhani labda nyumba hiyo ilikuwa imeingiliwa na wezi.
Kila mtu aliyesikia kelele hizo alitoka chumbani kwake huku akiwa na silaha, aliamini kabisa kwamba hazikuwa kelele za bure.
Mwamvita alikuwa bado amezimia kutokana na kushindwa kustahamili aibu iliyokuwa mbele yake, kutokana na kushuhudia mama yake akigonga shoo na mwanaume aliyekula naye uroda.
Aibu hiyo aliiona kuwa kubwa kuliko ile ya Pat na Queen kutembea na mwanaume mmoja.
Tabu, Rehema, Queen pamoja na Pat waliendelea kupiga kelele na vishindo vya watu kuzifuatilia kelele zao vilikuwa vikisikika.
Machale yakamcheza Eddy akiwa mtupu kama alivyotoka tumboni kwa mama yake, akachomoka kama mshale na kukimbia nje huku akiwakwepa wasichana hao na watu wengine waliofika kufuatilia kasheshe hilo.
Kutokana na kasi yake, hawakuweza kumzuia, alikimbia huku wengine wakimkimbiza kwa nyuma, kabla hajatoka mlango wa mbele akakutana na jirani aliyebeba mchi na kumtwisha nao kichwani, Eddy akaanguka chini na kuzirai.
Baada ya kelele kuwa nyingi baba mwenye nyumba aliyekuwa amelala fofofo chumbani kwake alishtuka, akapapasa kumgusa mkewe lakini hakuwepo.
Akatoka, akauliza kulikoni, akapewa kisa na mkasa mzima, alipomuona mkewe, ghafla naye akaanguka chini na kuzimia.
“Hii nyumba imezidi majanga,” alisema jirani mmoja na kuungwa mkono na wenzie ambao walipendekeza iuzwe.
Eddy, baba mwenye nyumba na Mwamvita walibebwa na kupelekwa hospitali, baada ya kupewa matibabu walizinduka.
Baba mwenye nyumba aliamua kumwandikia talaka mkewe, Eddy aligoma hata kurudi kwenye nyumba hiyo kuchukua vitu vyake, akaamua kwenda kuishi kwa rafiki yake, Salim Raha, Gongo la Mboto akiwa hajui hatma yake.
Hali kadhalika kwa Mwamvita naye aliamua kuhama katika nyumba hiyo ya baba yake kutokana na aibu aliyoipata.
Hakutaka kujua hatma ya afya yake, yuko mtaani anarandaranda na maisha na kuendelea kuwaumiza wengine bila ya kujijua.
Kwa upande wao, Queen, Tabu, Pat na Rehema wakazungumza suala hilo kwa undani.
Queen alisikitika kutambua kama alikuwa akila chungu kimoja na mdogo wake Pat, hali kadhalika kwa Rehema aliumia kufahamu kwamba Tabu naye alikuwa akigonga shoo na Eddy.
Wakachukua jukumu la kwenda kupima afya zao, wakajikuta wameambukiza Ugonjwa wa Ukimwi.
Kila mmoja akajutia kile walichokuwa wakikifanya, wakakubali makosa yao na kuishi kwa matumaini.
Wameamua kuishi pamoja kama ndugu na kuachana na uhasama wao wa zamani.
Kila wakikumbuka maisha yao ya nyuma wanajuta na kusema ulikuwa ni ushamba kugombea mwanaume, lakini pia kila siku wanaimba wimbo wa Majanga ulioimbwa na Snura Mushi.
“Majanga mbona majanganga…”
Mwisho.

Comments

Popular posts from this blog

Jinsi Ya Kumtambua Mwanamke Mwenye Nyege

JINSI YA KUCHEZEA MATAKO YA MWANAMKE NA KUMPA RAHA YA AJABU KWA KUYABINYA KATIKA MIELEKEO MAALAM SOMA HAPA

Kanga Moja....Ndembe Ndembe. Sehemu ya Kwanza