Chanzo Cha Baadhi Ya Wanaume Kupenda MICHEPUKO
Unajua maisha ya ndoa ni matam na machungu pindi suala zma la mapenz linapodolola wanaume walio wengi hawana uvumiliv hasa kwenye suala linalo husu tendo la ndoa wanawake mliokwenye ndoa mnakosea mkifanya hivi. 1}kuleta mazoea mkiwa faragha -unakosea sna unapomnyima mmeo penz bila sabab ya msng -unakosea uncpojishughulsha ktandan -unakosea unapofanya kdogo tu na kusema umechoka na hutak tena kuendelea -unakosea kutokua mtundu na mbunfu kwenye sex 2}.kutokubembeleza -wanaume wanapenda kubembelezwa sn pind wanapochoka au kutoka kazn 3}.uchafu kuna uchafu mwngne unaweza kuonekana au usionekane kwa nje, kwa taarfa yk nyumba ndogo humpeleleza bwana wako udhaifu wako, kisha yey kuutumia kama njia ya kujiimalsha na kufanya kwa ustadi na nidham ili amkamate vzur bwana wako dawa ya ndoa ni mapenz,fanya yote lakn suala la mapenz lipe kpaumbele kwa mapenz wako